MATUKIO MBALIMBALI

ASSALAAMU ALAYKUM WARAHMATULLAHI WABARAKAATUH

VIJANA wa almadrasatul Shamsiyyat wakiwa katika shughuli za kusherehekea mazazi ya Mtume MUHAMMAD (s.a.w) katika kijiji cha Mwambani wilaya ya Tanga Mjini.

Hafla hiyo ilidhuriwa  na viongozi mbalimbali wa DINI akiwemo sheikh, MUHAMMAD KHATWIBU (KIGODA) ambae ni mudiri wa madrasa hiyo, sheikh Ramadhani Mabrouk(naibu mudiri), sheikh Husein Hashimu na walimu mbalimbali kutoka sehemu tofauti.

SHEIKH KIGODA AKIWA KATIKA HADHARA HIYO

MWALIMU WA MADRASA HIYO NA WANAFUZI WAKIWA KATIKA ZAFA
KWAKWELI HADHARA ILIPAMBIKA VILIVYO







USTAADH ALLY TAJIRI (MWAKIDOSHO) AKIWA MAKINI KATIKA  SHUGHULI HIYO PAMOJA NA USTAADH OMARI HAMZA

Comments

Popular posts from this blog