
Posts
Showing posts from April, 2017
ASSALAAMU ALAYKUM WARAHMATULLAHI WABARAKAATUH.
- Get link
- X
- Other Apps
*I J U M A A* Miongoni mwa fadhila za siku ya *IJUMAA* Ktk Ummah wa KIISLAM *(qadiim)* Waliikosea mayahudi *siku hii* wakachagua jumamosi!! Waliikosea manaswara *siku hii* wakachagua jumapili!!! ALLAH AKATUONGOZA WAISLAM KUIPATIA SIKU HII YA *IJUMAA* *IJUMAA* Ni siku ALLAAH alimuumba Aadam, pia ndio siku alimuingiza ktk Jannah, ndio siku aliyolewa yeye na Mama Hawwaa kutoka ktk Jannah... *IJUMAA* ndio siku ALLAAH alimswaameh baba yetu Aadam. .. *IJUMAA* NDIO SIKU QIYAAMA KITASIMAMA *IJUMAA* ndio siku bora zaid kuliko masiku mengine yanayochomozewa na jua, bali ni SIKU ya ibadaadaat... *IJUMAA* Kuna Saa (muda ambao ndani yake Allaah anakubali zaidi duaa) Amesema Mtume swallallaahu 'alayhi wa sallam ...hakika miongoni mwa masiku yenu yaliokuwa bora, ni siku ya *IJUMAA* basi kithirisheni kuniswalia mimi, hakika swala zenu zinanifikia.... *Na faida nyinginezo ktk khutba hii....* ...