ASSALAAMU ALAYKUM WARAHMATULLAHI WABARAKAATUH.
*I J U M A A*
Miongoni mwa fadhila za siku ya *IJUMAA* Ktk Ummah wa KIISLAM
*(qadiim)*
Waliikosea mayahudi *siku hii* wakachagua jumamosi!!
Waliikosea manaswara *siku hii* wakachagua jumapili!!!
ALLAH AKATUONGOZA WAISLAM KUIPATIA SIKU HII YA *IJUMAA*
*IJUMAA* Ni siku ALLAAH alimuumba Aadam, pia ndio siku alimuingiza ktk Jannah, ndio siku aliyolewa yeye na Mama Hawwaa kutoka ktk Jannah...
*IJUMAA* ndio siku ALLAAH alimswaameh baba yetu Aadam. ..
*IJUMAA* NDIO SIKU QIYAAMA KITASIMAMA
*IJUMAA* ndio siku bora zaid kuliko masiku mengine yanayochomozewa na jua, bali ni SIKU ya ibadaadaat...
*IJUMAA* Kuna Saa (muda ambao ndani yake Allaah anakubali zaidi duaa)
Amesema Mtume swallallaahu 'alayhi wa sallam ...hakika miongoni mwa masiku yenu yaliokuwa bora, ni siku ya *IJUMAA* basi kithirisheni kuniswalia mimi, hakika swala zenu zinanifikia....
*Na faida nyinginezo ktk khutba hii....*
KHUTBA
•┈•┈•.┈•••✦⚪✦•••.┈•┈•┈•
Comments
Post a Comment