Posts

Showing posts from May, 2017
Image
ASSALAAMU ALAYKUM WARAHMATULL AHI WABARAKAATUH Amesema ALLAH  haliyakuwa ametukuka:- "Enyi ambao mlioamini, hakika mmefaradhishiwa kufunga kama ambavyo walifaradhiwa waliokuwa kabla yenu kwenda mkamcha mola wenu" {baqarah}      kutokana na aya hii, tunapaswa kufahamu kuwa;- kufunga ni lazima kwa kila muislam.\ funga inamuandaa mjaa kuwa mchamungu funga inajenga huruma na mapenzi kati ya mja na mja funga ndio njia ya  mja kujikurubisha kwa mola wake Kwahiyo nni wajibu kwa kila muislamu mwenye uwezo juu ya kufunga kutekeleza ibada hii.        MATBAAT AYYOUBIYYAT SHAMSIYYAHT

[22:15, 5/25/2017] أبو رحيل: ﺑﺴﻢ ﺍﻟﻠﻪ ﺍﻟﺮﺣﻤﺎﻥ ﺍﻟﺮﺣﻴﻢ * KARIBU MGENI WETU, MTUKUFU *RAMADHANI _ Narusha salamu zangu, kwa mapenzi na imani_ _Ziwafikie wenzangu, popote ulimwenguni_ _Tushike kamba ya Mungu, ya umoja na amani_ *karibu wetu mgeni, mtukufu *Ramadhani ... [06:56, 5/26/2017] ‪+255 777 438 620‬: هذه تهنئة رسول الله صلى الله عليه وسلم لأصحابه بقدوم رمضان، وأنا أهنئكم بها… (أتاكم رمضان شهر يغشاكم الله فيه، فينزل فيه الرحمة ويحط الخطايا ويستجيب الدعاء ويباهي بكم ملائكته، فأروا الله من أنفسكم خيرا، فإن الشقي من حرم فيه رحمة الله ) بلغنا الله وإياكم صيام هذا الشهر المبارك وقيامه الْلَّھُم أَهِلَهُ عَليْنَا بِالْأمْنِ وَالإِيْمَانِ وَالْسَّلامَةِ وَالْإِسْلَامِ وَالْعَوْنٓ عَلَى الْصَّلاةِ وَالصِّيَامِ وَتِلَاوَةِ الْقُرْآَنِ الْلَّھُمّ سَلِّمْنَا لِرَمَضَانَ وَسَلِّمْهُ لنا وَتَسَلَّمْهُ مِنّا مُتَقَبَّلاً يٓارٓبٓ العٓالِٓمينْ . مُبارٓكٌ علٓيْكُمْ شّٓهرُ رٓمٓضٓان