ASSALAAMU ALAYKUM WARAHMATULLAHI WABARAKAATUH
Amesema ALLAH haliyakuwa ametukuka:- "Enyi ambao mlioamini, hakika mmefaradhishiwa kufunga kama ambavyo walifaradhiwa waliokuwa kabla yenu kwenda mkamcha mola wenu" {baqarah}
kutokana na aya hii, tunapaswa kufahamu kuwa;-
- kufunga ni lazima kwa kila muislam.\
- funga inamuandaa mjaa kuwa mchamungu
- funga inajenga huruma na mapenzi kati ya mja na mja
- funga ndio njia ya mja kujikurubisha kwa mola wake
MATBAAT AYYOUBIYYAT SHAMSIYYAHT
Comments
Post a Comment