AL- MADRASAT AYOUBIYYAT SHAMSIYYAT MNYANJANI

Inawatangazia waislamu wote kuhudhuria katika sherehe za kuadhimisha elimu ya dini ya kiislamu, pamoja na maulidi makubwa ya kusifu mtume Muhammad (s.a.w).

  Kuanzia tarehe 3/12/2018 mpaka kufikia kilele cha sherehe hizo tarehe 6/12/2018.

  Usikose kuhudhuria tukio muhimu la kihistoria siku ya Jumatatu tarehe 3 baada ya swala ya Alasiri !!! Ambalo ni tukio la kuashimisha miaka 50.

KARIBUNI SANA.
Shukran

Comments

Popular posts from this blog