Posts

Showing posts from December, 2018
ASSALAAMU ALAYKUM WARAHMATULLAHI WABARAKATUH Alhamdulillahi. mpaka sasa hivi ni shughuli ya maonyesho ndio imemalizika. tunawakaribisha katika samai maalum itakayo anza baada ya swala ya ishaaa. KAEIBUNI NYOTE
Image
Image
Image

ASSALAAMU ALAYKUM WARAHMATULLAH WABARAKAATUH

UFUNGUZI WA SHUGHULI Leo ni tarehe 23/12/2018 ambayo ndio siku rasmi ya ufunguzi wa shughuli. KARIBUNI NYOTE.
Image
السلام عليكم ورحمة االله وبركاته BISMILLAHIR  RAHMANIR  RAHIYM ASSALAMU  ALAYKUM  WARAHMATULLAHI  WABARAKATUH AL-MADRASAT AYYOUBIYYAT MZINGANIL-AALAA .   S.L.P 2295,TANGA,/www.ayubiya.blogspot.com/ayubiyat@gmail.com TUNAYOFURAHA KUKUALIKA WEWE NA WAISLAMU WOTE KATIKA SHEREHE ZA KUADHIMISHA ELIMU YA DINI YA KIISLAMU PAMOJA NA MAULIDI YA MTUME MUHAMMAD (S.A.W), ZITAKAZOFANYIKA KATIKA VIWANJA VYA MADRASA KARIBU YA DUNIA HOTELI. RATIBA  YA  SHUGHULI SIKU TAREHE MUDA TUKIO JUMAPILI 23/12/2018 2:00 ASUBUHI KUPANDISHA BENDERA YA MAADHIMISHO KWA DUA MAALUMU 1:00 USIKU MAONYESHO YA MADA MBALIMBALI 2:00 USIKU MAULIDI YA WANAWAKE SAMAI YA AIANA YAKE JUMATATU 24/12/2018 10:30 JIONI ZAFA YA KUKATA KWA SHOKA 2:00 ...

AL- MADRASAT AYOUBIYYAT SHAMSIYYAT MNYANJANI

Inawatangazia waislamu wote kuhudhuria katika sherehe za kuadhimisha elimu ya dini ya kiislamu, pamoja na maulidi makubwa ya kusifu mtume Muhammad (s.a.w).   Kuanzia tarehe 3/12/2018 mpaka kufikia kilele cha sherehe hizo tarehe 6/12/2018.   Usikose kuhudhuria tukio muhimu la kihistoria siku ya Jumatatu tarehe 3 baada ya swala ya Alasiri !!! Ambalo ni tukio la kuashimisha miaka 5 0. KARIBUNI SANA. Shukran